PATA PESA KWA NJIA YA MIKOPO.
Kuna mikopo mingi kwenye mtandao isiyo kua na liba kubwa au kuitaji hati ya nyumba wala ya gari.mikopo upatikana kwa urahisi na bila kutarajia ni ndani ya dakika 5 tu. nina kuakikishia.
Mikopo hii itaitaji kitambulisho chako cha kupigia kura, cha uraia au liseni ya gari....
autahitaji kwenda kokote kupeleka hivyo vitambulisho. Uta vituma kupitia simu yako ya mkononi. Zifuatazo
- TALA
mahitaji;
- Simu ya mkononi aina ya smartphone
- Laini ya Tigo
- Kitambulisho chako cha kupigia kura
- Email yako ni muhimu
2. BAYPORT
Unaweza kopa na ukawa unakatwa kwenye mshahara wako kidogokidogo.hii utakopa simu, DStv, n.k...... nayo ni salama.www.bayport.com
mahitaji;
- simu yenye internet
- laini ya simu yoyote
- barua toka kwa muajiri wako
- kitambulisho
- Email yako
Hii ni website na wana ofisi zao hapahapa Tanzania ingawa ni kampuni ya Marekani, inatoa mikopo kwenye mtandao wana toa kuanzia $1 kisha $3 ,$5 $10-$100 ambayo utakopa hadi millioni 500 kuna mikopo ya aina tatu kuna ya binafsi , ya biashara, na vikundi ya si chini ya watu wa tano.